Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mika 1:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Enyi wakaaji wa Maresa, Mungu atawaletea tena adui atakayewateka. Waongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia ndani ya pango kule Adulamu.

Gade chapit la Kopi




Mika 1:15
11 Referans Kwoze  

Daudi akaondoka kule, akakimbilia kwenye pango karibu na muji wa Adulamu. Kaka zake na wandugu zake wengine waliposikia kwamba alikuwa pale, wote walikwenda kuungana naye.


Juu ya Waamoni, Yawe anasema hivi: Israeli hana watoto? Hana warizi? Mbona basi mungu Milkomu ametwaa Gadi na watu wake wanafanya makao yao katika miji yake?


Mutafanya nini siku ya azabu, siku zoruba itakapowakujia kutoka mbali? Mutamukimbilia nani kwa kuomba musaada? Mutakwenda wapi kwa kuweka mali yenu?


Beti-Suri, Soko, Adulamu,


mufalme wa Libuna, mufalme wa Adulamu,


Kisha, mashujaa watatu kati ya wakubwa makumi tatu waliteremuka wakati wa mavuno, wakamufikia Daudi kwenye pango kule Adulamu. Wakati ule kundi la waaskari wa Wafilistini lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu.


Wakati ule, Yuda akatengana na wandugu zake, akakwenda kukaa na mutu mumoja Mwadulami, jina lake Hira.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite