Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 9:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 “Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu unamwambia:

Gade chapit la Kopi




Mezali 9:4
11 Referans Kwoze  

Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu anamwambia:


Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.


Katika siku zile Yesu akasema: “Ee Baba, Mwenyeji wa mbingu na dunia, ninakushukuru kwa maana mambo uliyoyaficha kwa watu wenye hekima na elimu, umeyafunua kwa wanaokuwa wadogo.


Roho na Bibi arusi wanasema: “Kuja!” Naye mwenye kusikia maneno haya aseme vilevile: “Kuja!” Yule anayesikia kiu akuje, na yule anayetaka maji ya uzima akuje kuyapokea kwa bure.


“Enyi wajinga! Mpaka wakati gani mutapenda kuwa wajinga? Mpaka wakati gani wenye kuzarau watafurahia mazarau yao, na wapumbafu kuchukia maarifa?


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Linatokea kwa upande mumoja, na kuzunguka mpaka upande mwingine; hakuna kinachoweza kuepuka joto lake.


nikawaona vijana wengi wajinga, na hasa mumoja aliyekuwa mupumbafu.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite