Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 9:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Amewatuma wajakazi wake katika muji waite watu kutoka kwenye vilele vya milima:

Gade chapit la Kopi




Mezali 9:3
14 Referans Kwoze  

Anaikaa kitako kwenye mulango wa nyumba yake, anaweka kiti chake pahali pa juu katika muji,


Watu wako wakapata makao ndani yake, uliyotayarishia wamasikini kwa uzuri wako.


Na namna gani watahubiri ikiwa hawatumwi? Ni kama inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Angalia jinsi kunavyofurahisha kuja kwa wale wanaoleta habari njema.”


Yesu akamujibu: “Nilisema na watu wote waziwazi, nilifundisha siku zote katika nyumba za kuabudia na katika hekalu, pahali Wayuda wote wanapokutana. Sikusema kitu kwa uficho.


Siku ya mwisho ya sikukuu ile iliyokuwa siku kubwa, Yesu akasimama na kusema hivi kwa sauti: “Mutu akiwa na kiu, akuje kwangu akunywe.


Saa ya karamu ilipotimia akamutuma mutumishi wake kwenda kuwaambia walioalikwa kwamba wafike kwa maana vitu vyote viko tayari.


Kwa sababu hii, Mungu anasema katika hekima yake: ‘Nitawatumia manabii na mitume; watawaua wamoja kati yao na kuwatesa wengine wao.’


Basi muende kwenye masanganjia, na watu wote mutakaowaona, muwaalike wafike kwa karamu.’


“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu anamwambia:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite