13 Mwanamuke mupumbafu ana kelele, hajui kitu wala hana haya.
Alikuwa mwanamuke wa makelele na mwenye kiburi; miguu yake haitulii ndani ya nyumba:
Yeye haijali njia ya uzima, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.
yeye anajaa majivuno wala hajui kitu. Yeye yuko na ulema wa kubishana na kugombezana juu ya maana ya maneno. Na hayo yanaleta wivu, makelele, matukano, masingiziano
Afazali kuishi katika jangwa kuliko kukaa na mwanamuke mugomvi na muchokozi.
Afazali kuishi pembeni juu ya paa, kuliko kuishi ndani ya nyumba pamoja na mwanamuke mugomvi.
Kweli wewe ni mugonjwa wa mapenzi. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.– Unafanya uzinzi bila kuona haya hata kidogo.