Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kwa mutu mwenye ufahamu kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote imesawanishwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 8:9
17 Referans Kwoze  

Mwenye mazarau anatafuta hekima naye haipati, lakini mwenye akili anapata maarifa kwepesi.


Kama mumoja kati yenu akikosa kuwa na hekima, aiombe kwa Mungu ambaye atamupatia. Kwa maana Mungu anawapa watu wote bila upendeleo na kwa moyo mwema.


Kama mutu akitaka kufanya mapenzi ya Mungu, atajua kama mafundisho yangu yanatoka kwa Mungu, au kama ninasema kwa mamlaka yangu mwenyewe.


Imeandikwa hivi katika maandiko ya manabii: ‘Wote watafundishwa na Mungu.’ Kila mutu anayemusikia Baba na kufuata mafundisho yake, anakuja kwangu.


Njia ya mwenye hekima inaelekea juu kwenye uzima, kusudi aepuke kuingia chini katika kuzimu.


Inafaa kusema hivyo, enyi wazao wa Yakobo? Yawe ameacha uvumilivu wake? Yeye anafanya mambo kama haya? Maneno yangu yanawafalia wenye mwenendo sawa.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Mutu mwenye akili anajipatia maarifa; sikio la mwenye hekima linatafuta maarifa.


Hekima ni mbele ya uso wa mwenye akili, lakini macho ya mupumbafu yanaangalia kwa miisho ya dunia.


Mwenye akili anatafuta maarifa, lakini wapumbafu wanajikulisha upumbafu.


Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite