Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kinywa changu kitasema maneno ya haki, hakuna udanganyifu wala upotevu katika midomo yangu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 8:8
10 Referans Kwoze  

Walinzi wakajibu: “Hatujasikia mutu akisema sawasawa na mutu yule!”


Kumwogopa Yawe ni kuchukia uovu. Ninachukia kiburi, majivuno maisha mabaya, na luga mbaya.


Lakini Yawe anasema: “Kwa sababu wamasikini wanaugua, na wakosefu wanalia, sasa ninasimama, nami nitawapa usalama wanaoutazamia.”


Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, anayefika kutoka Bosira na nguo ya madoa mekundu? Ni nani huyo aliyevaa nguo ya utukufu, anatembea kwa nguvu zake kubwa? Ni mimi Yawe ninayetangaza ushindi wangu; nami ni mwenye nguvu ya kuokoa.


Mimi nimeapa kwa nafsi yangu, ninachosema ni ukweli, neno langu halitarudi nyuma: kila mwanadamu atanipigia magoti, kila mutu atafanya kiapo.


Lakini ninyi mumekosa uaminifu kwake, ninyi sio watoto wake tena kwa sababu ya uovu, ninyi ni kizazi kiovu na kipotovu.


kusudi mupate kuwa bila kosa na kuwa na maisha safi. Hivi mutakuwa watoto wakamilifu wa Mungu wasiokuwa na kilema kati ya watu waovu na wapotovu wa dunia hii. Munapaswa kuangaza kati ya watu hawa kama vile nyota zinavyoangaza katika mbingu,


watu ambao mienendo yao imepotoka, nazo njia zao haziaminiki.


Maana ninawapa kanuni zuri, musikatae mafundisho yangu.


Mwenye mazarau anatafuta hekima naye haipati, lakini mwenye akili anapata maarifa kwepesi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite