Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 8:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Ninawatajirisha wale wanaonipenda, ninajaza tele hazina za wanaonipenda.

Gade chapit la Kopi




Mezali 8:21
18 Referans Kwoze  

na hivyo tutapata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Baraka zisizoweza kuoza wala kuchafuka wala kupunguka; nazo zinawekewa akiba kwa ajili yenu mbinguni.


Halafu hawa watakwenda kwenye nafasi watakapoazibiwa kwa milele, lakini wenye haki wataingia kwenye uzima wa milele.”


Kwa maarifa vyumba vyake vinajazwa vitu vya bei kali na vya kupendeza.


Hata hivyo, nitaazibu taifa watakalotumikia na kwa mwisho watatoka wakiwa na mali nyingi.


Muliwahurumia wale waliokuwa katika kifungo, nanyi mulikubali kwa furaha kunyanganywa mali zenu, kwa sababu mulijua kwamba muko na mali inayokuwa bora zaidi na yenye kudumu.


Tutajitwalia mali zote za bei kali, tutazijaza nyumba zetu vitu tulivyonyanganya.


Unanionyesha njia ya kufikia uzima. Kuwa mbele yako ni kujazwa furaha, kuwa kwa kuume kwako kunapendeza milele.


Anawainua wazaifu toka katika mavumbi, anawanyanyua wakosefu toka katika majivu, na kuwaikalisha pamoja na wakubwa, na kuwarizisha viti vya heshima. Maana, minara ya dunia ni ya Yawe; yeye ameisimika dunia juu ya minara yake.


Yule atakayeshinda atapokea toka kwangu zawadi ile, mimi nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwana wangu.


Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.


lakini akipatikana anapaswa kulipa mara saba, tena atatoa mali yote anayokuwa nayo.


Na kama sisi ni watoto, basi tutakuwa na sehemu katika urizi ule Mungu aliowaahidi watu wake, na tutashiriki pamoja na Kristo katika urizi ule; kwa maana kama tukiteswa pamoja naye tutatukuzwa pamoja naye vilevile.


Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.


Baraka za Yawe ndizo zinazoleta utajiri. Juhudi za mutu haziongezi kitu.


Katika nyumba ya mwenye haki kuna wingi wa mali, lakini mapato ya waovu yanaleta hasara.


Katika nyumba ya mwenye hekima kuna hazina za bei kali, lakini mupumbafu anaponda mali yake yote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite