Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 8:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 “Hekima ina maana sana kuliko mawe ya bei kali; kitu chochote unachotamani hakiwezi kulingana nayo.

Gade chapit la Kopi




Mezali 8:11
14 Referans Kwoze  

Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Kumutii Yawe ni jambo jema; kunadumu milele. Maagizo ya Yawe ni sawa, yote ni ya haki kabisa.


Ni faida gani kwa mutu kupata utajiri wote wa dunia, lakini anapoteza uzima wake? Hakuna kitu mutu anachoweza kutoa kwa kukomboa uzima wake.


Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.


Kuna zahabu na wingi wa mawe ya bei kali; lakini kitu cha bei kali zaidi ni maneno ya maarifa!


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Muke mwema atapatikana wapi? Bei yake ni kali kuliko ushanga!


Hekima ni ya bei kubwa kama urizi; ni ya mafaa kwa wale wote wanaokuwa wazima.


Wala haziko ngambo ya bahari, hata museme: ‘Nani atakayevuka bahari atuletee kusudi tuzisikie na kuzitii.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite