7 nikawaona vijana wengi wajinga, na hasa mumoja aliyekuwa mupumbafu.
Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.
“Enyi wajinga! Mpaka wakati gani mutapenda kuwa wajinga? Mpaka wakati gani wenye kuzarau watafurahia mazarau yao, na wapumbafu kuchukia maarifa?
Yesu akamujibu: “Hata ninyi vilevile hamuwezi kuelewa?
Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.
Katika kinywa cha mwenye ufahamu kuna hekima, lakini wasiokuwa na akili watapigwa fimbo katika mugongo.
“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu anamwambia:
“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu unamwambia:
Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.
Maana wajinga wanajiua kwa kiburi chao, wapumbafu wanajiangamiza kwa kufanikiwa kwao.
Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.
Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.
Mwenye akili anaona hatari na kujificha, lakini wajinga wanajitokeza mbele na kuumia.
Nilipitia karibu na shamba la muvivu, ni kusema shamba la mizabibu la mutu mupumbafu,
Umwazibu mwenye kuzarau naye mujinga atapata akili; umwonye mwenye akili naye atapata maarifa.
Haifai mutu kuwa bila akili; mwenda harakaharaka anajikwaa.
Wajinga wanarizi upumbafu, lakini wenye akili wanalipwa taji ya maarifa.
Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.
Mulimaji mwenye bidii ana chakula tele, lakini anayefuata mambo yasiyofaa hana akili.
Linatokea kwa upande mumoja, na kuzunguka mpaka upande mwingine; hakuna kinachoweza kuepuka joto lake.
Muzinzi naye anangojea giza liingie, akisema: “Hakuna atakayeniona”; kisha anaficha uso wake kwa nguo.
Mwana wangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikie elimu yangu.
Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;