5 Vitakulinda mbali na mwanamuke mubaya, vitakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.
Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,
Yatakulinda mbali na mwanamuke mubaya, yatakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.
Midomo ya mwanamuke mupotovu ni mitamu kama asali, maneno yake ni laini kuliko mafuta;
Mwana wangu, kwa nini kutekwa na mwanamuke mwasherati? Kwa nini kukumbatia mwanamuke mugeni katika kifua?
Uambie Hekima: “Wewe ni dada yangu”, na Akili: “Wewe ni rafiki yangu”.
Siku moja katika dirisha ya nyumba yangu, nilichungulia inje kupitia nyavu za dirisha,
Kinywa cha mwasherati ni shimo refu; anayechukiwa na Yawe atatumbukia ndani yake.
Alimushawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishiwa kwa maneno yake matamu.