Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 7:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Naye akamufuata yule mwanamuke moja kwa moja, kama ngombe anayekwenda kuchinjwa, kama mupambafu anayefungwa na kwenda kuazibiwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 7:22
7 Referans Kwoze  

Unanifunga minyororo kwenye miguu, unachunguza njia zangu zote, umeichapa miguu yangu.


Na kufuatana na agizo lile, akawatia katika chumba cha ndani kabisa na kuwafungia miguu juu ya vipande vya miti kusudi ibaki imepanuka.


Naye kuhani wa hekalu la mungu Zeu, lililokuwa kwenye kiingilio cha muji, akaleta ngombe waliopambwa na mafungu za maua mbele ya mulango. Maana yeye pamoja na kundi la watu walitaka kuwatolea wale mitume sadaka ya nyama wenye kuchinjwa.


Basi, Pashuri akamupiga nabii Yeremia na kumutia katika minyororo iliyokuwa upande wa mulango wa juu wa kuingilia katika nyumba ya Yawe, ulioitwa mulango wa Benjamina.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Alimushawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishiwa kwa maneno yake matamu.


Hakutambua kwamba maisha yake yako katika hatari, mpaka alipojikuta amekuwa kama amechomwa mushale ndani ya moyo, amekuwa kama ndege aliyerukia ndani ya wavu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite