18 Kuja! Tufanye mapenzi mpaka asubui; kuja tujifurahishe kwa mapenzi.
Nimekinyuzia marasi, manemane, udi na mudalasini.
Mume wangu hayuko ndani ya nyumba, amekwenda safari ya mbali.
Usizini.
akilala na mutu mwingine bila mume wake au mutu mwingine yeyote kujua; amejichafua ingawa hakuna mutu aliyeshuhudia kitendo chake kwa sababu hakukamatwa.
“Maji yaliyoibwa ni matamu sana; mukate unaokuliwa kwa siri ni muzuri sana.”