Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 mara katika barabara, mara katika soko, pembeni ya njia hakosekani akivizia.

Gade chapit la Kopi




Mezali 7:12
11 Referans Kwoze  

Yeye anavizia kama munyanganyi, anasababisha wanaume wengi kukosa uaminifu.


Anaikaa kitako kwenye mulango wa nyumba yake, anaweka kiti chake pahali pa juu katika muji,


Ni kwa sababu mataifa yote yalileweshwa na divai kali ya uasherati wa muji ule. Wafalme wa dunia wamezini nao, na wachuuzi wa dunia wamejitajirisha kutokana na uwingi wa mali zake.”


Mwangaza wa taa hautaonekana tena ndani yako. Na hakutasikilika tena kelele la wenye kuoa au kuolewa. Itakutokea vile kwa sababu wachuuzi wako walikuwa wenye uwezo mukubwa katika dunia, nawe umewadanganya watu wote kwa njia ya vitendo vyako vya uchawi.”


Umejijengea nafasi yako yenye kuinuka kwa mwanzo wa kila barabara na kujijengea pahali pa kutambikia katika kila kiwanja. Tena wewe haukukuwa kama kahaba maana ulikataa kulipwa.


Inua macho, uangalie vilele vya vilima! Kuna nafasi ambapo hawajalala nawe? Uliwangoja wapenzi wako kando ya njia, kama mubedui anavyovizia watu katika jangwa. Umeichafua inchi kwa ukahaba wako mubaya sana.


Kwa nini unaniachilia hivi, ukibadilishabadilisha mwenendo wako? Utafezeheshwa na Misri kama ulivyofezeheshwa na Asuria.


Kweli wewe ni bingwa wa kutafuta wapenzi! Hata wanawake waovu unawafundisha njia zako.


Yawe anasema: Tangu zamani wewe ulivunja nira yako, ulikata minyororo yako, ukasema: “Sitakutumikia”. Juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila muti wa majani mabichi, ukalala machali kama kahaba.


Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na pahali mwanamuke mumoja alipoishi. Basi akashika njia inayokwenda kwa mwanamuke yule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite