Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 7:1
16 Referans Kwoze  

Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;


Heri yule anayesoma na wale wanaosikia maneno hayo ya unabii na kushika yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki, kwa maana wakati wa kutimia kwa mambo haya unakaribia.


Lakini Yesu akajibu: “Heri zaidi wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii!”


Lakini akaniambia: “Angalia, usifanye vile! Kwa maana mimi ni mutumishi kama vile wewe, na wandugu zako manabii na watu wanaoshika maneno ya unabii yanayoandikwa katika kitabu hiki. Ni Mungu ndiye unayepaswa kumwabudu!”


Yesu akamujibu: “Anayenipenda, atashika maneno yangu. Baba yangu atamupenda, naye Baba pamoja nami tutaingia ndani yake na kukaa ndani yake.


Mukumbuke maneno niliyowaambia kwamba mutumishi si mukubwa kuliko bwana wake. Kama walinitesa mimi, watawatesa ninyi vilevile. Na kama walishika maneno yangu, watashika maneno yenu vilevile.


Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Pokea mafundisho kutoka kwake; na uyaweke maneno yake ndani ya moyo wako.


Nao udongo muzuri walimopanda mbegu, ni mufano wa watu wanaosikia neno la Mungu na kulishika kwa moyo mwema na kwa uhaki. Ndio wale wanaovumulia hata wanatoa matunda mazuri.


na laana, kama hamutatii amri za Yawe, Mungu wenu, na kuacha njia ninayowaamuru, mukiabudu miungu mingine ambayo hata hamujajua bado.


Wenye hekima wanalinda maarifa, lakini kusemasema kwa mupumbafu kunaleta maangamizi haraka.


Usiyaache yatoweke mbele ya macho, uyafunge ndani ya moyo wako.


Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;


Hatakubali malipo yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.


Miguu yake inaelekea chini kwenye kifo, hatua zake zinaenda kuzimu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite