Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 6:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?

Gade chapit la Kopi




Mezali 6:9
15 Referans Kwoze  

Kwa maana yote yanayoonekana wazi yanageuka mwangaza. Ni kwa hiyo inasemwa hivi: “Amuka wewe unayelala! Ufufuke kutoka kati ya wafu, naye Kristo atakuangazia.”


Wewe Yerusalema, usafishe maovu ya moyo wako, kusudi upate kuokolewa. Mpaka wakati gani utaendelea kuchunga maovu?


Enyi wajinga wa mwisho, mufikiri kidogo! Enyi wapumbafu, mutapata akili wakati gani?


Mufanye vile, maana munajua tunaishi katika siku gani sasa. Saa ya kuamuka katika usingizi wenu imetimia, kwa maana sasa wakati wetu wa kuokolewa unakaribia kuliko vile ilivyokuwa wakati tulipoanza kuamini.


“Enyi wajinga! Mpaka wakati gani mutapenda kuwa wajinga? Mpaka wakati gani wenye kuzarau watafurahia mazarau yao, na wapumbafu kuchukia maarifa?


Kulitokea mutu aliyetumwa na Mungu, jina lake Yoane.


Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.


lakini anajiwekea chakula wakati wa kipwa, anajikusanyia akiba wakati wa mavuno.


Unasema: “Acha nilale kidogo tu, acha nisinzie kidogo! Uniache nikunje mikono nipumzike kidogo!”


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.


Kama vile mulango unavyozunguka kwenye vyuma vya kuukamatia, ndivyo muvivu anavyogeuka juu ya kitanda chake.


Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite