Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Ujiokoe kwa kujitoa katika mutego ule, ujiponyeshe kama vile paa au ndege anayemutoroka mwindaji.

Gade chapit la Kopi




Mezali 6:5
6 Referans Kwoze  

Hakika Mungu atakuokoa katika mutego, atakukinga na magonjwa mabaya.


Tumeponyoka kama ndege katika mutego; mutego umefyatuka, nasi tukaponyoka.


Mutego unaotegwa na ndege akiona, mutego ule unategwa bure.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Yawe ni kimbilio langu; namna gani basi munaweza kuniambia: “Ruka kama ndege, mpaka kwenye milima,


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, kama vile paa au swala wanavyokuwa katika pori, musichochee wala kuamusha mapenzi, mpaka pale wakati wake utakapofika.


Mupenzi wangu ni kama paa, ni kama swala muchanga. Anasimama karibu na ukuta wetu, anachungulia kwenye dirisha, anaangalia kwenye wavu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite