Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Usiache macho yako yapate usingizi, wala kope za macho yako zisinzie.

Gade chapit la Kopi




Mezali 6:4
8 Referans Kwoze  

sitakubali kulala usingizi, wala kusinzia,


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


ujue kwamba uko chini ya mamlaka ya mwenzako, lakini mwana wangu, ukitaka kujiokoa, basi fanya hivi: umwendee mutu yule mara moja, umusihi akupe uhuru wako.


Ninasema hivi: “Heri ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningeruka mbali na kupata pumziko,


kwa sababu malaika wa Bwana alishuka mara kwa mara ndani ya kile kisima na kutikisa maji. Na mugonjwa wa kwanza aliyeingia ndani ya maji kisha kuyatikisa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.]


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite