Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wakati ule umasikini utakushambulia kama munyanganyi, ukosefu utakufuata kama mwizi mwenye silaha.

Gade chapit la Kopi




Mezali 6:11
9 Referans Kwoze  

Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


lakini kumbuka kwamba unapokuwa katika usingizi, umasikini utakufikia kama munyanganyi, ukosefu kama mutu mwenye silaha.


Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.


Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.


maana walevi na walafi wataishia kuwa wamasikini. Usingizi utawavalisha nguo za kupasukapasuka.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.


Lala tu kidogo, sinzia tu kidogo, kunja mikono yako tu upumzike,


Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite