Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwana wangu, kama umejitolea kubeba deni ya mwenzako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mutu yule,

Gade chapit la Kopi




Mezali 6:1
12 Referans Kwoze  

Usikuwe mumoja wa wale ambao wanajitoa rehani kwa madeni ya wengine.


Mutu asiyekuwa na akili anajitoa rehani kwa deni ya mutu mwingine.


Anayejitoa kulipia mugeni deni yake atajuta, lakini anayechukia mapatano yale ana usalama.


Mutu akiahidi kumukopesha mutu asiyejulikana, unyanganye nguo yake kuwa rehani.


Kwa sababu ya kiapo hiki, Yesu amekuwa kihakikisho kwetu cha agano linalokuwa zuri zaidi.


Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.


Ee Mungu, ujitoe mwenyewe kuwa rehani kwa ajili yangu maana hakuna mwingine wa kujitoa kwa ajili yangu.


Mimi mwenyewe nitakuwa rehani kwake. Wewe utanidai mimi. Nisipomurudisha umwone kwa macho yako mwenyewe, kosa likuwe juu yangu milele.


ikiwa umejifunga kwa maneno yako mwenyewe, utajinasa kwa ahadi uliyofanya;


Sasa, ee Mungu, umewatupa watu wako, wazao wa Yakobo. Maana kweli wachawi kutoka mashariki wamejaa kati yao; kuna waaguzi kama vile kwa Wafilistini. Wanashirikiana na watu wageni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite