Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Yeye haijali njia ya uzima, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.

Gade chapit la Kopi




Mezali 5:6
12 Referans Kwoze  

Chunguza sana njia utakayopitia, na hatua zako zote zitakuwa kamili.


Unanionyesha njia ya kufikia uzima. Kuwa mbele yako ni kujazwa furaha, kuwa kwa kuume kwako kunapendeza milele.


Mwenendo wa mwanamuke mwasherati ni hivi: yeye anakula, anajipanguza mudomo, na kusema: “Sijafanya kosa lolote!”


Maana mwenendo wa kila mutu ni wazi mbele ya Yawe; yeye anachunguza njia zake zote.


Nimefikiri juu ya mwenendo wangu, na nimerudi nifuate maagizo yako.


Mutu anayekusudia kuwa mwenye haki ataishi, lakini anayechagua kutenda maovu atakufa.


Macho yao yanajaa uzinzi. Wao hawachoki kufanya zambi. Wanavuta watu wasiokamilika. Wanatawaliwa na tamaa za kupata mali. Watu hao wamelaaniwa!


Yeyote anayemwendea harudi hata kidogo, wala harudilii tena njia ya uzima.


Mwanamuke mupumbafu ana kelele, hajui kitu wala hana haya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite