Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 5:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Sikusikiliza sauti ya walimu wangu, wala kuwategea sikio wale walionifundisha.

Gade chapit la Kopi




Mezali 5:13
7 Referans Kwoze  

Muwakumbuke waongozi wenu waliowatangazia neno la Mungu. Muangalie vizuri namna walivyoishi na kufa. Mufuate imani yao.


Basi kwa hiyo, yeye anayekataa mafundisho haya hamukatai mutu, lakini anamukataa Mungu anayewapa ninyi Roho wake Mutakatifu.


Basi nitaondoka huku na kurudia kwa baba yangu nami nitamwambia: baba, nimemukosea Mungu na nimekukosea wewe vilevile.


Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;


Nikakuwa karibu ya kuangamia kabisa katika kusanyiko na mukutano wa watu.”


akafuata shauri la vijana wenzake, akawaambia: “Baba yangu aliwabebesha muzigo muzito, lakini mimi nitaufanya kuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite