Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Shikamana sana na hekima, nayo itakutukuza; ukiishikilia itakupa heshima.

Gade chapit la Kopi




Mezali 4:8
7 Referans Kwoze  

Wale wenye hekima watangaa kama vile anga linavyongaa, na wale waliowaongoza wengine kutenda mema, watangaa kama nyota milele.


Kwa hiyo, ujumbe wa Yawe, Mungu wa Israeli, ni huu: Niliahidi kwamba jamaa yako na jamaa ya babu yako mutakuja mbele yangu kunitumikia milele; lakini sasa jambo hilo likuwe mbali nami. Nitawaheshimu wale wanaoniheshimu, na wale wanaonizarau, nitawazarau. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbafu watapata haya.


Ukinyenyekea na kumwogopa Yawe, utapata zawadi ya fanaka, heshima, na uzima.


Mukono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu, mukono wake wa kuume unanikumbatia.


Itakupa maisha marefu, mali na heshima.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite