6 Usimwache hekima, nayo itakutunza; umupende, nayo itakulinda.
Atatumia ubaya wa kila namna kwa kuwadanganya wale wanaopotea kwa sababu hawakupenda kukubali na kupenda mambo ya kweli yaliyoweza kuwaokoa.
Hivi Kristo apate kukaa ndani ya mioyo yenu kwa njia ya imani, nanyi mupate kuwa na mizizi na musingi katika upendo.
Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.
Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,