Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 4:4
22 Referans Kwoze  

Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Nami ninajua kama amri yake inaleta uzima wa milele. Ni kwa hiyo maneno ninayosema, ninayasema tu kama vile Baba alivyoniagiza.”


Ufuate amri zangu nawe utaishi; ulinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.


“Nawe Solomono mwana wangu, umujue Mungu wa baba yako, na umutumikie kwa moyo wako wote na kwa nia nzuri; yeye Yawe anachunguza mioyo na anafahamu mipango na mafikiri ya mwanadamu. Ukimutafuta yeye, utamwona; lakini ukimwacha, atakutupilia mbali milele.


Tena, tangia utoto wako unajua Maandiko Matakatifu yanayoweza kukupatia hekima kusudi uokolewe kwa njia ya kumwamini Kristo Yesu.


Na ninyi wababa musiwakasirikishe watoto wenu. Lakini muwalee na kuwaonya, mukiwatolea mashauri yanayotoka kwa Bwana.


Muweke ndani ya moyo wenu maneno hayo ninayowaamuru leo


Na alipokwisha kufanywa kuwa mukamilifu, akawaongoza watu wote wanaomutii wapate kuokolewa kwa milele.


Mutege sikio, enyi watu wangu, mukuje kwangu; munisikilize, kusudi mupate kuishi. Nami nitafanya nanyi agano la milele; nitawatendea mema niliyomwahidi Daudi.


Ninakumbuka vilevile imani yako isiyokuwa ya udanganyifu, imani ile tate muzaa mama yako Loisi na mama yako Euniki waliyokuwa nayo. Ninajua hakika kwamba wewe vilevile uko nayo.


Umufundishe mutoto njia anayopaswa kufuata, naye hataiacha hata katika uzee.


Nimeshika neno lako ndani ya moyo wangu, kusudi nisikukosee.


“Lakini mukuwe waangalifu na kufanya angalisho sana kusudi musisahau mambo yale muliyoona kwa macho yenu wenyewe, kusudi isitokee hata mara moja katika maisha yenu mambo hayo kusahaulika ndani ya mioyo yenu. Muwaelezee watoto wenu na wajukuu wenu


Nimemuchagua yeye na wazao wake. Yeye atawafundisha wazao wake kushika njia yangu kwa kutenda kwa haki na kwa kufuata sheria yangu, nami nitawatimizia ahadi zangu.”


Ninashika kanuni na maagizo zako; wewe unaona mwenendo wangu wote.


Mwana wangu, unisikilize kwa uangalifu, ufuate mwenendo wa maisha yangu.


Kisha Manoa akasema: “Sasa maneno yako yatakapotimia ni mambo gani tutakayofuata kwa ajili ya huyo mutoto? Tutafanya nini kwa ajili yake?”


Maagizo yako ni ya haki siku zote; unijalie akili nipate kuishi.


Maana vitakupa wingi wa siku, maisha marefu na fanaka kwa wingi.


Yeremia akamujibu: Hautatolewa kwao. Wewe sasa utii kile Yawe anachosema, kama ninavyokuambia, na mambo yote yatakuendekea vema, na maisha yako yataokolewa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite