Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 4:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Chunguza sana njia utakayopitia, na hatua zako zote zitakuwa kamili.

Gade chapit la Kopi




Mezali 4:26
19 Referans Kwoze  

Mujitengenezee njia zenye kunyooka, kusudi mwenye ulema wa miguu asiteguke, lakini apate kupona.


Yawe anaongoza mutu katika njia yake, anamulinda yule anayemupendeza.


Heri mwenendo wangu ungeimarika kwa kuyafuata masharti yako!


Lakini Bwana ni mwaminifu, atawaimarisha na kuwakinga na yule Mwovu.


Basi, Yawe wa majeshi anasema hivi: Mufikiri vizuri juu ya namna munavyofanya!


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mufikiri vizuri juu ya namna munavyofanya!


Vilevile aitie mioyo yenu nguvu nanyi mutapata kuwa watakatifu na bila kosa mbele ya Mungu Baba yetu siku Bwana wetu Yesu atakaporudia pamoja na watakatifu wake wote.


Kwa hiyo musikuwe wajinga, lakini mutambue mapenzi ya Bwana.


Kwa sababu amefikiri, akaachana na makosa aliyoyafanya, hakika ataishi; hatakufa.


Nimefikiri juu ya mwenendo wangu, na nimerudi nifuate maagizo yako.


Maana mwenendo wa kila mutu ni wazi mbele ya Yawe; yeye anachunguza njia zake zote.


Muangalie vizuri mwenendo wenu. Musiishi kama wajinga lakini muishi kama wenye hekima.


Yeye haijali njia ya uzima, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.


Nilimungojea Yawe kwa uvumilivu, akanielekea na kusikia kilio changu.


Lakini mukisha kuteswa kwa muda kidogo, Mungu mwenye neema yote aliyewaita kusudi mupate kushiriki naye katika utukufu wake wa milele katika kuungana kwenu na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisha. Atawatia nguvu na kuwasimamisha imara kabisa.


Uyaelekeze macho yako mbele sawasawa, kope zako zipige sawasawa.


Upumbafu ni furaha kwa mutu asiyekuwa na akili, lakini mwenye akili anachagua njia inayokuwa sawa.


Mutu mwovu anajionyesha kuwa hodari, lakini mutu wa usawa anafikiri vizuri juu ya mwenendo wake.


Sikia, mwana wangu, ukuwe na hekima; fikiri sana jinsi unavyoishi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite