Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Ukitembea hatua zako hazitazuizwa, wala ukikimbia hautajikwaa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 4:12
15 Referans Kwoze  

Halafu utaweza kwenda zako kwa usalama, wala muguu wako hautajikwaa.


Umenipa ngao yako ya wokovu na kuniimarisha kwa mukono wako wa kuume. Nimefanikiwa kwa sababu ulikubali kunisaidia.


Tena imeandikwa kwamba: “Jiwe lile ni la kukwalisha watu, nalo ni la kuwaangusha.” Wamejikwaa kwa sababu hawakuamini neno la Mungu, na hivi ndivyo walivyopanga kwa ajili yao tangu mwanzo.


Umepanua njia yangu wala miguu yangu haikuteleza.


Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


Watarudi wakiwa wanatoa machozi, nami nitawaongoza nikiwafariji; nitawapitisha kando ya vijito vya maji, katika njia iliyonyooka ambamo hawatajikwaa; maana mimi nimekuwa baba wa Israeli, Efuraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.


Yatakuongoza katika njia yako, yatakulinda wakati unapolala, yatakushauria unapoamuka.


Wanaopenda sheria yako wana amani kubwa; hakuna kinachoweza kuwaangusha.


Nitaishi katika uhuru kamili, maana ninashugulika na kanuni zako.


Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite