Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 30:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kuzimu, tumbo la mwanamuke tasa, udongo usioshiba maji, na moto usiosema: “Inatosha!”

Gade chapit la Kopi




Mezali 30:16
5 Referans Kwoze  

Kuzimu na shimo la kuangamia havishibi hata kidogo, vilevile macho ya watu hayashibi.


Zaidi ya hayo, divai inapotosha; mutu mwenye kiburi hatadumu. Yuko tayari kuwameza wengine kama kuzimu; kama vile kifo, hatosheki na kitu. Anajikusanyia mataifa yote, na watu wote kama mali yake.


Rakeli alipoona kwamba hajamuzalia Yakobo watoto, alimwonea Lea dada yake wivu, akamwambia Yakobo: “Unipatie watoto, kama sivyo, nitakufa.”


Muruba ana wabinti wawili wanaosema: “Unipe, Unipe!” Kuna vitu vitatu ambavyo havishibi hata kidogo, hata vitu vine visivyosema: “Inatosha!”


Kuzimu inawangoja kwa hamu kubwa, imepanua kinywa chake mpaka mwisho. Waheshimiwa pamoja na watu wengine wa Yerusalema wanaingia humo makundi kwa makundi, vilevile na wote wanaushangilia kwa furaha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite