1 Maneno ya Aguri mwana wa Yake. Maneno ambayo mutu huyu alimwambia Itieli na Ukali.
Maneno ya mufalme Lemueli. Mashauri aliyopewa na mama yake:
Mwovu ni chukizo kwa mwenye haki, naye mwenye haki ni chukizo kwa mwovu.
Mimi ni mupumbafu sana, wala si mutu; sina akili ya mwanadamu.