Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Maana vitakupa wingi wa siku, maisha marefu na fanaka kwa wingi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 3:2
22 Referans Kwoze  

Mwana wangu, sikia na kupokea maneno yangu, kusudi upate kuwa na miaka mingi ya kuishi.


Kwa musaada wangu mimi Hekima siku zako zitaongezwa; utaongezewa miaka mingi katika maisha yako.


Nitamupa maisha marefu, nitamujalia wokovu wangu.”


Basi, Mungu anayekuwa musingi wa matumaini, awajaze furaha kamili na amani kutokana na imani yenu; hata tumaini lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mutakatifu.


Uishi na hata uwaone wajukuu wako! Amani ikuwe na Israeli!


Wanaopenda sheria yako wana amani kubwa; hakuna kinachoweza kuwaangusha.


Kumwogopa Yawe kunarefusha maisha, lakini miaka ya waovu itakuwa mifupi.


Mazoezi ya mwili yana mafaa kidogo, lakini kushikamana na ibada kuna mafaa katika mambo yote, kwa maana kunatupatia ahadi ya kuishi kwa wakati huu wa sasa na kwa wakati utakaokuja.


Sasa kufuatana na vile tumekwisha kuhesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya imani, kunakuwa sasa amani kati yetu na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.


Umemufikia, ukamupatia baraka nzurinzuri; umemuvalisha taji ya zahabu safi juu ya kichwa chake.


Kwa maana kazi ya Ufalme wa Mungu si kushugulika na mambo ya kula na kunywa, lakini ni kushugulika na haki, amani na furaha vinavyotolewa na Roho Mutakatifu.


Kutokana na kutenda kwa haki, watu watapata amani, utulivu na usalama kwa milele.


Utashuka katika kaburi ukiwa na miaka yenye kutimia, kama vile muganda wa ngano uliokomaa vizuri.


kusudi ninyi na watoto wenu mupate kuishi maisha marefu katika inchi ambayo Yawe, Mungu wenu, aliapa kuwapa babu zenu, siku zote mbingu zitakapodumu juu ya dunia.


Tena kama ukifuata njia yangu na kushika masharti na amri zangu kama vile baba yako Daudi alivyofanya, basi, nitakupa maisha marefu.”


Kuwa na imvi za uzee ni taji la utukufu; zinapatikana kwa maisha ya haki.


“Ninyi mukuwe waangalifu mufanye kama vile Yawe alivyowaamuru. Mutimize kila kitu sawasawa.


Baba yangu alinifundisha hiki: “Shika kwa moyo maneno yangu, shika amri zangu nawe utaishi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite