Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 3:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 3:13
14 Referans Kwoze  

Anayejitenga na wenzake anajipendelea mwenyewe; anakasirika akipewa shauri lolote jema.


ukitafuta hekima kama feza, na kuitaka kama hazina iliyofichwa,


Hekima haiwezi kupatikana kwa zahabu, wala kwa kupima kiasi kingi cha feza.


Kwa mutu mwenye ufahamu kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote imesawanishwa.


Wala haziko ngambo ya bahari, hata museme: ‘Nani atakayevuka bahari atuletee kusudi tuzisikie na kuzitii.’


Hekima ina bei kali kuliko mawe ya matumbawe na marijani, bei kali yake inashinda bei kali ya ushanga.


Topazi ya Etiopia haiwezi kulinganishwa nayo, wala haiwezi kupewa bei ya zahabu safi.


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Kupata hekima ni bora kuliko zahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko feza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite