12 maana Yawe anaonya yule anayemupenda, kama vile baba anavyomwonya mwana wake mupenzi.
Mukumbuke kwamba Yawe, Mungu wenu, anawaazibu kama vile baba anavyoazibu mwana wake.
Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.
Umwazibu mwana wako naye hatakupa wasiwasi; yeye atafurahisha moyo wako.
Asiyemwazibu mutoto wake hamupendi; lakini anayemupenda mwana wake atamwazibu kwa wakati.
Kama vile baba anavyohurumia mwana wake, ndivyo Yawe anavyohurumia wote wanaomwabudu.
Kwa maana, Bwana anamwazibu yule anayemupenda, yeye anamupiga kila mutu anayemukubali kuwa mutu wake.”
Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,