Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 3:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Mwana wangu, usizarau azabu ya Yawe, wala usiuzike kwa maonyo yake;

Gade chapit la Kopi




Mezali 3:11
12 Referans Kwoze  

Heri mutu yule anayeazibiwa na Mungu! Hivyo usizarau Mungu Mwenye Uwezo anapokuazibu.


Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,


Lakini tunahukumiwa na kuazibiwa na Bwana kusudi tusiazibiwe pamoja na watu wa dunia hii.


Kwa wema wake, Mungu ametupatia utumishi huu, na kwa sababu hii sisi hatukati tumaini.


Kwa hiyo mumukumbuke yule aliyevumilia kutendewa na wenye zambi kwa chuki kubwa, kusudi musipate kuchoka wala kuregea.


Ukiregea wakati wa shida, basi wewe ni muzaifu kweli.


Lakini sasa shida imekupata nawe unaregea. Imekugusa, nawe unafazaika.


Mukumbuke kwamba Yawe, Mungu wenu, anawaazibu kama vile baba anavyoazibu mwana wake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite