Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 28:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Taifa lenye fujo lina viongozi wengi, lakini kwa kiongozi mumoja mwenye akili na maarifa kuna utengemano.

Gade chapit la Kopi




Mezali 28:2
14 Referans Kwoze  

akatawala kwa pahali pake. Huo ulikuwa mwaka wa tatu wa utawala wa mufalme Asa wa Yuda.


Kwa hasira yangu mimi nikawapa mufalme, kisha nikamwondoa kwa kasirani yangu.


Basi, akasema kwa sauti: Angalia Babeli, muji mukubwa nilioujenga kwa nguvu zangu ukuwe makao yangu ya kifalme na kwa ajili ya utukufu wangu!


Watu wako watajenga tena mabomoko ya zamani; mutajenga upya juu ya misingi iliyoachwa zamani. Nanyi mutaitwa watu waliotengeneza upya kuta, watu waliotengeneza tena barabara za miji.


Katika muji ule, kulikuwa masikini mumoja mwenye hekima ambaye, kwa hekima yake, aliokoa muji ule. Lakini hakuna mutu aliyemukumbuka yule masikini kisha.


Katika mwaka wa pili wa utawala wa Asa kule Yuda, Nadabu mwana wa Yeroboamu alianza kutawala katika inchi ya Israeli. Alitawala kwa muda wa miaka miwili.


Muji unafanikishwa kwa baraka za watu wa usawa, lakini unaangamizwa kwa kinywa cha waovu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite