Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 27:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Aliyeshiba anakataa hata asali, lakini kwa mwenye njaa kila chakula kichungu ni kitamu.

Gade chapit la Kopi




Mezali 27:7
9 Referans Kwoze  

Basi, wakaanza kumunungunikia Mungu na Musa, wakisema: Kwa nini mumetutoa Misri tukuje tukufie humu katika jangwa? Humu hamuna chakula wala maji; nasi tumechokeshwa na chakula hiki cha bure.


“Hapa kuna mutoto mumoja anayekuwa na mikate mitano ya shayiri pamoja na samaki mbili. Lakini chakula hiki hakitawafalia kitu watu wengi kama hawa.”


Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo, hivyo ni vyakula vinavyonichukiza.


Mwana wangu, ukule asali maana ni nzuri; sega la asali ni tamu katika kinywa chako.


Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.


Mutu aliyepotea mbali na kwake ni kama ndege aliyepotea mbali na chicha yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite