Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 27:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Acha watu wengine wakusifu, kuliko kujisifu kwa mudomo wako wewe mwenyewe.

Gade chapit la Kopi




Mezali 27:2
7 Referans Kwoze  

Kwa maana, mutu anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, lakini ni yule anayesifiwa na Bwana.


Si vizuri kula asali nyingi sana; vilevile haifai kujipendekeza sana.


Kwa kweli hatungesubutu kujifananisha au kujilinganisha na watu wale wanaojisifu wenyewe. Wao ni wapumbafu. Wanajipima kufuatana na kipimo chao wenyewe na kujilinganisha na wao wenyewe.


Ninasema kama mupumbafu, lakini ni ninyi ndio mumenilazimisha kufanya vile. Kufuatana na ile, ningepaswa kusifiwa nanyi. Kwa maana hata kama mimi si kitu, wale mitume wenu wanaohesabiwa kuwa wakubwa hawanipiti kitu kabisa.


Jiwe ni zito na muchanga vilevile, lakini uchokozi wa mupumbafu ni muzito zaidi.


Akamwambia: “Fuatana nami kusudi ujionee jinsi ninavyokuwa mwaminifu kwa Yawe.” Basi, wakasafiri pamoja katika gari lake.


Watu wengi wanajivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli anapatikana wapi?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite