8 Kumupa mupumbafu heshima ni kama kufunga jiwe kwenye mujeledi.
Heshima anayopewa mupumbafu haifai. Ni kama teluji ya wakati wa kipwa, au mvua ya wakati wa mavuno.
mutumwa anayekuwa mufalme; mupumbafu anayeshiba chakula;
Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.
Mezali katika midomo ya mupumbafu ni kama miguu ya kiwete inayoninginia.
Mezali katika kinywa cha mupumbafu ni kama tawi lenye miiba katika mukono wa mulevi.