Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 26:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Akisema maneno mazuri usimwaminie. Ndani ya moyo wake kuna machukizo mengi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 26:25
11 Referans Kwoze  

Hata wandugu zako, jamaa yako mwenyewe, nao vilevile wanakudaganya; wanakukaripia waziwazi. Usiwaamini hata kidogo, ingawa wanakuambia maneno mazuri.


Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.


“Kwa wakati ule mutu akiwaambia ninyi: ‘Angalia, Kristo yuko hapa!’ au ‘Yuko kule!’, musimusadiki


Unisaidie, ee Yawe! Watu wema wamekwisha; waaminifu wametoweka kati ya watu.


Usimwaminie mwenzako, wala usimutumainie rafiki yako. Chunga mudomo wako, usimwambie kitu muke wako wewe mwenyewe.


maana ndani ya moyo wake anahesabu unachokula. Atakuambia: “Kula, kunywa!” Lakini ndani ya moyo wake hayuko pamoja nawe.


Kama vile rangi yenye kungaa iliyopakwa juu ya chungu cha udongo, ndivyo maneno matamu yenye nia mbaya yanavyokuwa.


Saulo akamwambia Daudi: “Huyu ni Merabu, binti yangu mukubwa, nitamutoa kwako kusudi umwoe kwa masharti mawili: Ukuwe askari wangu shujaa na mutiifu, upigane vita ya Yawe.” Saulo alizani kwa njia hiyo Wafilistini watamwua Daudi, kusudi kitendo hicho asikifanye yeye mwenyewe.


Sanibalati na Gesemi wakatuma ujumbe kwangu wakisema: “Tukutane kwenye kijiji kimoja katika bonde la Ono.” Lakini walikusudia kunizuru.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite