Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 26:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kama vile rangi yenye kungaa iliyopakwa juu ya chungu cha udongo, ndivyo maneno matamu yenye nia mbaya yanavyokuwa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 26:23
10 Referans Kwoze  

Halafu Bwana akamwambia: “Ninyi Wafarisayo ni kama mutu anayesafisha tu inje ya kikombe na sahani; lakini ndani yenu mumejaa tamaa ya wizi na uovu.


Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munafanana na makaburi yaliyopakaliwa chokaa, yanayoonekana kuwa mazuri kwa inje, lakini ndani yanajaa mifupa ya wafu na uchafu wa kila namna.


Basi, wanakuja kwako makundi kwa makundi na kuikaa mbele yako kama watu wangu, kusudi wasikie unachosema, lakini hawafanyi unachowaambia wafanye. Wanasema kwamba wana upendo, lakini hayo ni kusema tu; wanachotafuta kwa moyo ni faida yao tu.


Toa takataka katika feza, na mufuaji wa vyuma atakutengenezea chombo kizuri.


Akisema maneno mazuri usimwaminie. Ndani ya moyo wake kuna machukizo mengi.


maana ndani ya moyo wake anahesabu unachokula. Atakuambia: “Kula, kunywa!” Lakini ndani ya moyo wake hayuko pamoja nawe.


Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite