Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 26:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Kama vile makaa au kuni vinachochea moto, ndivyo mugomvi anachochea ugomvi.

Gade chapit la Kopi




Mezali 26:21
8 Referans Kwoze  

Mwenye kasirani anachochea ugomvi, mutu wa hasira anasababisha makosa mengi.


Mutu wa hasira mbaya anasababisha ugomvi, lakini asiyekuwa mwepesi wa hasira anautuliza.


Maana ukigandisha maziwa, utapata siagi; ukimupiga mutu kwenye pua, atatoka damu. Vilevile kuchochea hasira kunaleta ugomvi.


Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.


Kwa mishale mikali ya waaskari, kwa makaa ya moto mukali!


Watu wote wa Israeli walipopata habari kwamba Yeroboamu alikuwa amerudi kutoka Misri, walimwita katika mukutano, wakamuweka kuwa mufalme wa Israeli yote. Hakuna kabila lingine lililojiunga na ukoo wa Daudi isipokuwa tu kabila la Yuda.


Sasa ilitokea kwamba kule Gilgali kulikuwa mutu mumoja wa ovyoovyo anayeitwa Seba mwana wa Bikiri, wa kabila la Benjamina. Basi Seba alipiga baragumu, na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi; hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese. Enyi watu wa Israeli, kila mumoja ajiendee katika hema yake!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite