Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 26:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Muvivu anajiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wanaoweza kujibu kwa akili.

Gade chapit la Kopi




Mezali 26:16
5 Referans Kwoze  

Unamwona mutu anayejiona kuwa mwenye hekima? Afazali kumutumainia mupumbafu kuliko yule.


Mupumbafu anaona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima anasikiliza shauri.


Lakini mumutukuze Bwana wenu Kristo ndani ya mioyo yenu. Mukuwe tayari wakati wowote kumujibu kila mutu anayewauliza juu ya tumaini munalokuwa nalo. Lakini mufanye vile kwa upole na heshima,


Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.


Ukuwe na hekima, mwana wangu, upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa neno la kumujibu mutu yeyote anayenizarau.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite