14 Kama vile mulango unavyozunguka kwenye vyuma vya kuukamatia, ndivyo muvivu anavyogeuka juu ya kitanda chake.
Basi musigeuke kuwa wavivu, lakini mufuate mufano wa wale wanaoamini na kuvumilia. Kwa njia hiyo wanapokea yale Mungu aliyoahidi kuwapa.
Lala tu kidogo, sinzia tu kidogo, kunja mikono yako tu upumzike,
Mwindaji muvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.
Kuwa na bidii kutamupa mutu cheo, lakini uvivu utamufanya mutumwa.
Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.