Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 26:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Heshima anayopewa mupumbafu haifai. Ni kama teluji ya wakati wa kipwa, au mvua ya wakati wa mavuno.

Gade chapit la Kopi




Mezali 26:1
16 Referans Kwoze  

Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.


Mutawala asiyekuwa na akili anawagandamiza sana watu, lakini anayechukia mali ya udanganyifu atatawala kwa muda murefu.


Utulinde, ee Yawe, utukinge siku zote na kizazi hiki kiovu.


Kumupa mupumbafu heshima ni kama kufunga jiwe kwenye mujeledi.


Maneno mazuri hayastahili katika kinywa cha mupumbafu, zaidi sana maneno ya uongo katika kinywa cha kiongozi!


Kwa mukubwa wa waimbaji. Mashairi ya Daudi yanayoelekea wakati Doegi wa Edomu alipomwendea Saulo na kumujulisha kwamba Daudi amemwendea Ahimeleki.


Hataki akaenda akamwelezea Esteri maneno yote Mordekayi aliyosema.


Hataki akamwendea Mordekayi katika uwanja, mbele ya mulango wa nyumba ya kifalme.


Lakini, kama sivyo, moto utoke kwa Abimeleki na kuwateketeza wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo, tena moto utoke kwa wanainchi wa Sekemu na Beti-Milo na kumuteketeza Abimeleki.”


Yotamu alipopata habari hiyo, alikwenda kusimama juu ya mulima Gerizimu, akasema kwa sauti kubwa: “Munisikilize, enyi watu wa Sekemu kama munataka Mungu awasikilize.


Kiboko ni kwa farasi, lijamu ni kwa punda, na fimbo ni kwa mugongo wa mupumbafu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite