Basi, akapakua asali kwa mikono yake, akaikula akiendelea na safari yake. Aliporudi kwa wazazi wake, akawapa asali kidogo nao wakakula. Lakini hakuwaambia kwamba alitosha asali hiyo ndani ya muzoga wa simba.
Lakini Yonatani hakusikia wakati baba yake alipowaapiza watu. Halafu akainua fimbo aliyokuwa nayo, akaichovya kwenye sega la asali, akakula asali hiyo. Hapo akajisikia kuwa na nguvu.