Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 24:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mwana wangu, ukule asali maana ni nzuri; sega la asali ni tamu katika kinywa chako.

Gade chapit la Kopi




Mezali 24:13
12 Referans Kwoze  

Atakula maziwa na asali mpaka atakapojua kukataa mabaya na kuchagua mema.


Ninaingia katika bustani yangu, dada yangu, muchumba wangu. Ninakusanya manemane na majani yenye harufu, ninakula sega langu la asali, ninakunywa divai yangu na maziwa yangu. Mukule, enyi warafiki, mukunywe; mukunywe sana, wapendwa wangu.


Unapopata asali, kula sehemu ya kukutoshelea, kusudi usishibe na kuitapika.


Midomo yako inadondosha asali, ee muchumba wangu, ulimi wako una asali na maziwa. Harufu nzuri ya nguo zako ni kama miti ya Lebanoni.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Kumutii Yawe ni jambo jema; kunadumu milele. Maagizo ya Yawe ni sawa, yote ni ya haki kabisa.


Yoane alikuwa akivaa nguo iliyotengenezwa na manyoya ya ngamia na mukaba wa ngozi katika kiuno. Naye alikuwa akikula nzige na asali ya pori.


Si vizuri kula asali nyingi sana; vilevile haifai kujipendekeza sana.


Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.


Aliyeshiba anakataa hata asali, lakini kwa mwenye njaa kila chakula kichungu ni kitamu.


Basi, akapakua asali kwa mikono yake, akaikula akiendelea na safari yake. Aliporudi kwa wazazi wake, akawapa asali kidogo nao wakakula. Lakini hakuwaambia kwamba alitosha asali hiyo ndani ya muzoga wa simba.


Lakini Yonatani hakusikia wakati baba yake alipowaapiza watu. Halafu akainua fimbo aliyokuwa nayo, akaichovya kwenye sega la asali, akakula asali hiyo. Hapo akajisikia kuwa na nguvu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite