Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 24:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Umwokoe mutu anayepelekwa kuuawa kwa bure; usisite kumwopoa anayeuawa bila kosa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 24:11
13 Referans Kwoze  

Muwaokoe wazaifu na wakosefu, muwaopoe kutoka makucha ya waovu.


Nilivunja nguvu za watu waovu, nikawafanya wawaachilie mateka wao.


Ugomvi ulipozidi sana, jemadari akaogopa kwamba watu wale watamurarua Paulo. Kwa hiyo akaamuru waaskari waende katikati ya mukutano ule na kumwondosha Paulo kwa kinguvu katikati yao na kumurudisha ndani ya upango wa waaskari.


Basi wakamukamata Sositeni, mukubwa wa nyumba ya kuabudia, wakamupiga pale mbele ya tribinali. Lakini Galio hakushugulika na jambo hilo.


Mbona, ee Yawe, unanitupilia mbali? Kwa nini unanificha uso wako?


Lakini Paulo akalalamika kwa nguvu akisema: “Usijiue, kwa maana sisi wote tuko hapa!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite