Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 24:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Ukiregea wakati wa shida, basi wewe ni muzaifu kweli.

Gade chapit la Kopi




Mezali 24:10
11 Referans Kwoze  

Basi ninawaomba musiregee kwa sababu ya mateso ninayopata kwa ajili yenu, kwa maana yanawaletea utukufu.


Musiregee wala musikuwe na hofu, kwa sababu ya habari munazosikia katika inchi. Mwaka huu kuna habari hii, mwaka mwingine habari ingine; habari ya mateso makali katika inchi, mutawala mumoja anapigana na mutawala mwingine.


Daudi akajisemesha ndani ya moyo: “Siku moja, Saulo ataniangamiza. Jambo zuri kwangu ni kukimbilia katika inchi ya Wafilistini. Saulo atakata tamaa kunitafuta ndani ya mipaka ya inchi ya Israeli, nami nitakuwa salama kutoka katika mikono yake.”


Kwa wema wake, Mungu ametupatia utumishi huu, na kwa sababu hii sisi hatukati tumaini.


Lakini sasa shida imekupata nawe unaregea. Imekugusa, nawe unafazaika.


Wewe ni muvumilivu; umeteswa kwa ajili ya jina langu, lakini haukuregea.


Ninajua pahali pale unapokaa, ile ndiyo nafasi ya utawala wa Shetani. Wewe unashikamana na jina langu, wala haukuikana imani unayokuwa nayo kwangu, hata wakati Antipa, mushuhuda wangu mwaminifu, alipouawa kati yenu kule kwenye makao ya Shetani.


(Wakati ule wanafunzi wake walikuwa wamekwenda katika muji kununua vyakula.)


Kuna mutu aliyevunjika moyo? Arudie kwake, kusudi asiwavunje wenzake moyo kama vile yeye.’


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite