Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 23:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Tumia akili yako kwa kufuata mafundisho; tumia masikio yako kwa kusikiliza maarifa.

Gade chapit la Kopi




Mezali 23:12
9 Referans Kwoze  

Kisha akawaambia: “Basi, kila mwalimu wa Sheria aliyefundishwa katika Ufalme wa mbinguni, anafanana na mwenye nyumba anayetwaa vitu vipya na vitu vya zamani pamoja toka katika akiba yake.”


Basi, wanakuja kwako makundi kwa makundi na kuikaa mbele yako kama watu wangu, kusudi wasikie unachosema, lakini hawafanyi unachowaambia wafanye. Wanasema kwamba wana upendo, lakini hayo ni kusema tu; wanachotafuta kwa moyo ni faida yao tu.


Sikia, mwana wangu, ukuwe na hekima; fikiri sana jinsi unavyoishi.


Tega sikio usikie maneno ya wenye hekima; elekeza moyo wako kwa maarifa yangu.


maana Mungu, Mukombozi wao, ni mwenye nguvu, naye atatetea haki yao nawe utaonekana kuwa na kosa.


Usiache kufundisha mutoto; ukimupiga fimbo hatakufa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite