Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kulinda maisha yake ataiepuka.

Gade chapit la Kopi




Mezali 22:5
15 Referans Kwoze  

Njia ya muvivu inajaa miiba, lakini njia ya mutu wa usawa ni wazi kama barabara kubwa.


Tunajua kwamba kila mutoto wa Mungu hafanyi zambi, kwa maana Mwana wa Mungu anamulinda, wala yule Mwovu hawezi kumugusa.


Njia ya watu wa usawa ni kujiepusha na uovu; anayechunga njia yake anachunga maisha yake.


Anayeshika amri analinda maisha yake; anayezarau agizo atakufa.


Kuwa na akili kunaleta ukubali, lakini njia ya waovu ni ya taabu.


Miguu yake mwenyewe itamutia katika mutego; kila mara anatembea juu ya shimo.


Anayechunga kinywa chake analinda maisha yake, mwenye midomo mirefu anajiletea maangamizi.


Ukikaa chini ya ulinzi wa Mungu Mukubwa, ukiishi chini ya kivuli cha Mungu Mwenye Nguvu,


Atawanyeshea waovu makaa ya moto na kiberiti; upepo mukali utakuwa ndio azabu yao.


mujue kwa hakika kwamba Yawe, Mungu wenu, hataendelea kuyafukuza mataifa haya mbele yenu, lakini yatakuwa kwenu kikwazo na mutego. Yatakuwa kwenu mujeledi wa kuwapiga na miiba ya kuwachoma kwa macho mpaka pale mutakapoangamia na kutoka katika inchi hii nzuri ambayo Yawe, Mungu wenu, amewapa.


Ukinyenyekea na kumwogopa Yawe, utapata zawadi ya fanaka, heshima, na uzima.


Mutu mubaya ananaswa kwa kosa lake, lakini mutu wa haki anaimba na kufurahi.


Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite