Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 22:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Umufukuze mwenye kiburi na fujo itatoweka, na ugomvi na matusi vitakoma.

Gade chapit la Kopi




Mezali 22:10
11 Referans Kwoze  

Mwenye kiburi na majivuno jina lake ni “Mazarau”; anatenda kwa kujivuna tu.


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


Mumoja kati ya wana wa Yoyada mwana wa Kuhani Mukubwa Eliasibu, alioa binti wa Sanibalati kutoka muji wa Beti-Horoni, kwa sababu hiyo nikamufukuza kutoka mbele yangu.


Na kama akikataa kuwasikia watu wale, upeleke habari kwa kanisa. Naye akikataa kusikia kanisa vilevile, umuhesabu kama mupagani na mutenda maovu sawa walipishaji wa kodi.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mumoja kwake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite