7 Ukali wa waovu utawaangamiza, maana wanakataa kutenda mambo ya haki.
Anayetafuta haki na wema atapata uzima, haki, na heshima.
Mutu asiwadanganye na maneno yasiyokuwa na maana; kwa sababu ya makosa kama hayo, Mungu anawaazibu kwa kasirani yake wale wasiomutii.
Lakini baba yake, kwa sababu alilipisha bei isiyokuwa ya haki na kumwibia ndugu yake, wala hakuwatendea wandugu zake vizuri, hakika atakufa kwa sababu ya uovu wake.
Nitawafukuza ninyi mbali nami kama nilivyowatupilia mbali wandugu zenu, wote wa uzao wa Efuraimu.
Mwenye haki anajiletea baraka yeye mwenyewe, lakini kinywa cha mwovu kimesongwa na mateso makali.
Mataifa yameanguka katika shimo walilochimba, miguu yao imenaswa kwenye wavu waliotega.
Anachimba shimo, na kulirefusha, kisha anatumbukia humo yeye mwenyewe.
Angalisho, enyi munaogeuza sheria kuwa uchungu, na kuona haki kuwa kama takataka!