Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mezali 21:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mali inayopatikana kwa udanganyifu ni muvuke unaopita na mutego wa kifo.

Gade chapit la Kopi




Mezali 21:6
12 Referans Kwoze  

Mali ya harakaharaka inatoweka, lakini anayekusanya kidogokidogo ataiongeza.


Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai, lakini haki inaokoa mutu kutoka kifo.


Mali iliyopatikana kwa haraka kwa mwanzo, haitakuwa ya heri kwa mwisho.


Mutu anayepata mali isiyokuwa ya usawa ni kama kwale anayelalia mayai ambayo hakutaga. Mali yanamwishia angali kijana, na kwa mwisho anageuka sawa mupumbafu.


Asiyenipata anajizuru mwenyewe; wote wanaonichukia wanapenda kifo.”


Uniondolee uongo na udanganyifu; usinipe umasikini wala utajiri; unipatie chakula ninachohitaji,


Anayepanda ubaya atavuna hasara. Uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa.


Na kwa sababu ya tamaa yao mbaya ya mali, walimu hawa wa uongo watajipatia faida juu yenu kwa njia ya maneno ya uongo. Lakini tangia zamani hukumu yao imekwisha kutangazwa, nao hawatakawia kuangamizwa.


Mununuzi analalamika: “Hakifai, hakifai,” lakini akiondoka anajisifu amepunguziwa bei.


Inafaa kuwanyamazisha watu hao kwa sababu wanapotosha jamaa nzima kwa kufundisha mambo yasiyofaa wakitafuta kupata mali kwa njia mbaya.


Mutupilie mbali zambi mulizonitendea; mujipatie moyo na roho mupya. Enyi Waisraeli, mutakufa kwa sababu gani?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite